Manifesto Swahili

Tuna waza Kama watu wote wapo Na lusa yakuwa kimia.


Tuna fikiri yakuamba kila mutu iko Na shida, maposhua fasi yote atakapo ishi kua kila hali ya kazi yake. Ndiyo itafanya dunia kuwa mahali nzuri yakuishi.


Tuna fikiri kua kufanya fanya ma kazi nzuri kua musada ya ku sungumuzana mafikiri na mawazo ndiyo roho ya kufanya fanya ma kazi nzuri-KEI. Tungawanye sababu watu wengine vivio ivio wa lingawanyaka.


Tuna fikiri kua miyoyo nzuri ya watu, kua ngambo ya kufuanya fuanya ma kazi nzuri kua ngambo ya makabila yetu, tupo wote na imani kua kila mufuanya kazi kila mutowa pesa, kila maendeleo ya kazi na mifuano yote ya butshuruzi ama maendeleo nzuri ,tuna weza kamilisha kuamba ita leta kipimo moja ka ya ku vuma ya feza na mayisha ya watu. Tupo mu makutano kua kukamihisha namna imani ina ngewuzaka dunia ,na apana roho mubaya.


Tuna amini kua mapashua ya kuwa na imani mara ya kuanza piya neema ya mawazo ya vifungo ya kazi mara ya pili

Kamailivio sema Nelson Mandela “musi nisambishe ju ya kuvuna kuangu bali juu ya mara ngapi nilipotereza nakuanguka na nikasimama”

Bati ya kuanza ina difupisha kua mapashua ya mutu kuwina mayisha yake tena kama iko ana fanya ma kosa ndani ya mayisha.

Kunapashua apate bati mara ya pili. Muna pasha kuriti bati ya pili kua kukamilisha kupita ku maseni kua vitendo yenye mulifuanya mu zamiri ngambo ya kufuata jiya nzuri.


Tunamini kua kutengeneza mawayo pa moja. Kushindua ayikuake kushindua kama tupo tuna pata mayele pa moja na mafikiri makosa yetu iliye pita na kuyafasiriya kua wengine ngambo ya ibada.


Mapashua na makosa ita ngewuka kua fayida juu ya watu wote ku ngambo fulani-fulani, ita badirika kuwa beseni ya kuwina mu masiku zidjogo.


Tuna imani kua “kujitumikiyamuenyewe” Kufuatana na sura mbili ya haki ya bina adamu kutawala kua:

  • Mbiyo
  • Rangi ya ngozi ya muili
  • Kina kike, kiume
  • Ruga
  • Kanisa
  • Mapashua ya siasa na vinginevio
  • Matokeyo ya itshi awo namba ya mapato
  • Ukamilifu
  • Kuzaliwa awo namba ingine

Ma usayiba ya watu safi, wa kamilifu, na wenye ku djenga yenye kuwa na mapashua ya ku nvuma.


Tuna imani ka mawozo ya vifungo via kazi kua kuza na kuzisha mapato yetu.
Zaidi ya iyo tunawe kua mavuno nzuri, na mapato zetu ndiyo iko ina tambulisha ku malipo minge na zaidi.

Na iyo iyomipango ya kutumikisha vingudi na makazi za nguvu-nguvu – kutumikisha kuifatiriya sababu ya kufika ku mazawo ya maana mbele ya imani. Iyi mipango ina kamatua piya ku makundi-makundi.

Yote yanaanza mafikiri sana na ya kusara, ukamilifu piya mawazo nzuri, ndivio mapashua pale.
Mafikiri ya kufitshua ni vifupi.


Tuna imani kua makazi-kaji ya wazi ingawa niya vifungo via kazi ya nguvu, iwe mapashua kua vingudi viote via kazi: waudaji, marafiki, watowa feza, vingudi via wafanya kazi vienye vina simamishua, vingindi via watu wa itshi za kingeni na kazalika…yote inanza na sisi kama vile ma kanisa na kila mutu wa kingundi.